SMAUJATA YAFANYA UPATANISHO WA NDOA KWA WAPENDANAO JIJINI MBEYA, VITA YA UKATILI NI MAISHA.

     Uongozi wa SMAUJATA Mkoa wa Mbeya umefika  kata ya Iganjo mtaa wa ikhanga Halmashauri ya Jiji la Mbeya

Lengo kuu la ujio wa Viongozi hao ni mra baada ya kupokea taarifa kutoka kwa msamaria mwema ambae jina lake tuna lihifadhi 

Kwa Taarifa zilizo ripotiwa ni kuwa mwanaume mmoja ambae jina lake linahifadhiwa alikimbia familia na kutekeleza mama na watoto kwa Muda wa miaka mitatu, ndipo SMAUJATA ilipo amua kuvunja ukimya na kumtafuta Baba wa familia na kumpa elimu dhidi ya ukatili na ndipo alipo gundua kuwa anafanya makosa. 

Mwanaume huyo baada ya Elimu kaomba Msamaha na kuto rudia Tena kukimbia familia. 

Mashujaa hao katika ziara hiyo ya kutokomeza ukatili katika jamii wameongozwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Hamasa na Usajili Mkoa  Asia Boniphace, Loveness Chatanda, Christophe Palange

Viongozi wa wilaya Alie pokea ugeni huo ni Mwenyekiti wa Ufuatiliaji na Utekelezaji  viongozi Maiko Makunja pamoja na Shujaa ngazi ya Kata.

         "Kataa Ukatili Wewe ni shujaa"

 Na Wamzi Hassan 

Comments

Popular posts from this blog

DKT. TULIA ALIVYO WEZESHA MASOMO KWA VIJANA WANAOTOKA MAZINGIRA MAGUMU MBEYA, SONGWE NA RUVUMA.

RAIS WA IPU MH. DKT. TULIA NA RAIS WA HUNGARY WAJADILI HALI YA AMANI DUNIANI

TK MOVEMENT YAZINDULIWA DODOMA MEI 25,2024, WAZIRI NDEJEMBI AWAAGIZA WATENDAJI KUTOA USHIRIKIANO KWA VIJANA