YAJUE MALENGO 10 YA SHUJAA WA MAENDELEO NA USTAWI WA JAMII (SMAUJATA) TANZANIA

🇹🇿 DIRA YA SMAUJATA Kuwa na Taifa lenye Kizazi Huru chenye haki na Usawa Kitakachoweza Kujitegemea kwa Kuzitambua Fursa na Kutumia Ujuzi, Maarifa na Vipaji katika Kujenga Jamii yenye Maendeleo Endelevu. *DHAMIRA YA SMAUJATA :* Kuiwezesha na kuijengea Jamii Uwezo wa Kutambua na Kuiishi Misingi ya Haki na Usawa ili Kwa Kutumia Ujuzi, maarifa na Vipaji iweze Kung'amua na Kuzitumia fursa Kuleta Maendeleo Endelevu. *IMANI YETU MASHUJAA SMAUJATA* HEKIMA NA UMOJA, USHINDI NA USHUJAA💪🏾👨👩👧👦✊🏿 "Kafanyeni Kazi Kwa Weledi, Ushirikiano na Kwa Kujituma Kila Mmoja Katika Eneo Lake Kazi Ionekane mashujaa.. Baraka Zote Nawapa Mashujaa wa Jamii🤲🏾" ~Sospeter Mosewe Bulugu, Mwenyekiti SMAUJATA Taifa 🇹🇿 MALENGO MAKUU YA SMAUJATA 1. Kushirikisha Jamii katika kuainisha fursa na changamoto zinazoikabili ili kulijiletea Maendeleo 2. Kuelimisha Jamii kuondokana na Fikra, Imani, Mila, Desturi na Tamaduni Zinazokinzana na Maendeleo 3. Kushirikisha Jamii kat...