IJUE BONGO PROPS AND LOCATIONS

   Kumekuwepo na changamoto kubwa kwa waandaaji wa kazi za Filamu na watunzi wa muziki katika kuhakikisha wanapata maeneo sahihi na mavazi sahihi, kulingana na maudhui ya kazi zao za kisanaa kuifikia jamii kwa muonekano fanani.

     BONGO PROPS AND LOCATIONS ni kampuni inayojihusisha na urahisishwaji wa kupatikana kwa Vifaa husika na maeneo husika kulingana na maudhui(Stori) ya mwandishi wa Filamu/muziki. Ni kampuni iliyo chini ya Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania Ndg: Domos Jogoo, ambayo imetambulishwa siku chache zilizopita lakini ikionekana kutumiwa na kuaminiwa na Wasanii wengi sana.

   BONGO PROPS AND LOCATIONS 1inakupa urahisi wa kupata vifaa kama; ●Mavazi ya Kale ●Mavazi ya Vijini ●Mavazi ya Mjini ●Sare za Jeshi ●Vifaa vya maofisini ●Vifaa vya kale nk. Pia

BONGO PROPS AND LOCATIONS ikurahisishia kupata maeneo kama; ●Vijiji vya kale ●Nyumba za Kisasa ●Misitu minene ●Maeneo ya Jangwa ●Visima vya pori nk

      Wamefanikiwa pia nguwa na vazi lao la kuwatambua ambapo huvaa T-shirts/PullOvers zimeandikwa (BPL)

Tembelea kwenye kurasa zote za kijamii kisha wasiliana nao ( @domos_jogoo) ( Bongo Props and Location)

Comments

Popular posts from this blog

RAIS WA IPU MH. DKT. TULIA NA RAIS WA HUNGARY WAJADILI HALI YA AMANI DUNIANI

TK MOVEMENT YAZINDULIWA DODOMA MEI 25,2024, WAZIRI NDEJEMBI AWAAGIZA WATENDAJI KUTOA USHIRIKIANO KWA VIJANA

TAASISI YA TULIA TRUST YATOA MIFUKO 50 YA SARUJI SHULE YA MSINGI IKULE MASEBE RUNGWE